Friday, February 27, 2009

SHAMBA LINAUZWA (Tshs.700,000 - 1m) KWA HEKA


HILI LIMESHAUZWA - ILA BADO YANAPATIKANA KWA BEI ILIYOPO HAPO JUU.
Note: Hayajapimwa bado na pia hayako katika mradi (sehemu zilizochukuliwa na Serikali).Endapo utahitaji yaliyopimwa/yenye hati bei yake ni Shs.5,000,000/= na kuendelea)inaweza kuwa shamba au kiwanja itategemea eneo na ukubwa.

Thursday, February 19, 2009

NYUMBA INAPANGISHWA

INA:- Vyumba 3 vya kulala(2 Master), - Sebule,Chumba cha kula chakula - jiko,choo & bafu - sakafu ya nyumba yote ni ya vigae - Kiyoyozi (AC)nyumba nzima - kibaraza cha kupunga upepo (summit)juu ghorofani kinachoangaliana na bahari - maji,umeme, nafasi ya maegesho ya magari4, - iko ndani ya uzio(fenced) Mahali: Msasani Bei: US$ 2500 kwa mwezi(makubaliano yapo)