Tuesday, September 29, 2009

BRAND NEW LAPTOPS FOR SALE

LAPTOPS MPYA AINA YA HP ZENYE SIFA MBALI MBALI ZINAUZWA KWA BEI POA!



MODEL: HP
HARD.DISK: 250 GB
WINDOW VISTA
RAM: 3GB & 4GB
PROCESSOR: DUO Processors
SOME HAVE: Webcam/CD/DVD Player
PRICE: Tshs. 1.2m to 1.4m

Contact: 0713 - 076083

Friday, July 24, 2009

VIWANJA VINAUZWA

1. High Density kinauzwa 6,500,000/=

2. Low Density kinauzwa 8,500,000/=

Viwanja vipo Madale karibu na Wazo na vina hati.
Bagamoyo Rd.

Kwa mawasiliano: Simu 0712 785277

SOLD-VIMEUZWA

Friday, February 27, 2009

SHAMBA LINAUZWA (Tshs.700,000 - 1m) KWA HEKA


HILI LIMESHAUZWA - ILA BADO YANAPATIKANA KWA BEI ILIYOPO HAPO JUU.
Note: Hayajapimwa bado na pia hayako katika mradi (sehemu zilizochukuliwa na Serikali).Endapo utahitaji yaliyopimwa/yenye hati bei yake ni Shs.5,000,000/= na kuendelea)inaweza kuwa shamba au kiwanja itategemea eneo na ukubwa.

Thursday, February 19, 2009

NYUMBA INAPANGISHWA

INA:- Vyumba 3 vya kulala(2 Master), - Sebule,Chumba cha kula chakula - jiko,choo & bafu - sakafu ya nyumba yote ni ya vigae - Kiyoyozi (AC)nyumba nzima - kibaraza cha kupunga upepo (summit)juu ghorofani kinachoangaliana na bahari - maji,umeme, nafasi ya maegesho ya magari4, - iko ndani ya uzio(fenced) Mahali: Msasani Bei: US$ 2500 kwa mwezi(makubaliano yapo)

Friday, January 30, 2009

NYUMBA/VYUMBA VINAPANGISHWA

Nyumba na.6


- Nyumba 2 kwa pamoja
- @ Nyumba ina vyumba 4 vya kulala
- Uwanja wa michezo
- Mahali: maeneo Cocacola Mikocheni B
- Kodi: US$ 2000 (kwa mwezi)


Nyumba na.5


Nyumba nzuri yenye samani ndani:
- Vyumba vyote vina kiyoyozi (AC)
- Master bedroom iko ghorofa ya kwanza
- Vyumba vyote vina choo ndani
- Sebule kubwa
- Majiko 2
- Jenereta (endapo itatokea umeme kukatika)
- Matanki makubwa ya kuhifadhi maji safi
- Sehemu kubwa ya kuegesha magari
- Uzio na geti kubwa
Mahali: maeneo ya Mombasa, Zanzibar
- Nyumba iko dakika 5 toka Uwanja wa Ndege wa Zanzibar, dakika 10 toka kati ya mji
Kodi: Makubaliano


Nyumba na.4


- Vyumba 4 vya kulala
- Bwawa la kuogelea
Mahali: Mikocheni kwa Warioba
Kodi: US$ 5000 (kwa mwezi)




Nyumba na.3


- Vyumba 4 vya kulala
- ina samani za nyumba nzima
- Eneo kubwa
Mahali: Mikocheni B karibu na Shule ya Msingi Ushindi
Kodi: USD 1500 ( kwa mwezi)


Nyumba na.2
- Vyumba 4 vya kulala
- Sebule kubwa
- Eneo kubwa
Mahali: Karibu na Barabara ya Old.Bagamoyo, eneo la ufukwe wa Kawe
Kodi: US$ 2500



Nyumba na.1


- Vyumba 4 vya kulala ina:
- Samani za nyumba nzima
- Inatizamana na ufukwe wa bahari
- Bwawa la kuogelea, Ukumbi wa mazoezi
Mahali: Msasani kwa Mwl. Nyerere
Kodi: US$ 2500 (kwa mwezi)

Wednesday, January 7, 2009

NYUMBA/VIWANJA/MASHAMBA -UZWA

Nyumba na.6



Nyumba ya Vyumba 4
-Inahitajika kumaliziwa kujengwa
Mahali: Mikocheni eneo la Cocacola
Bei: Tshs. 250 ml


Nyumba na.5


Nyumba ya Vyumba 4 (2 'Master)
- Ina maji (DAWASCO) + Umeme (LUKU)
- Inaweza kubadilishwa kuwa na muonekano wa kisasa
- 'Size'35 x 18m
- Ina hati
Mahali: Msasani nyuma ya TANESCO
Bei: Tshs. 200 ml


Nyumba na.4


Nyumba ya Vyumba 5
- Iko kwenye hatua ya kumaliza ujenzi
Mahali: Msasani karibu na DARVILLA
Bei: USD 800,000


Nyumba na.3



Nyumba ya Vyumba 4 (1'Master')
-Sebule, Chumba cha kulia chakula
-ni ya kumalizia kujenga
Mahali: Mbezi kwa Msuguri, 1km toka Bar.Morogoro
Bei: Tshs. 70ml

Nyumba na.2



Nyumba ya Vyumba 4
- 'Master bedroom',
- chumba cha kulia chakula,
- ina eneo kubwa
Mahali: Tambalale
Bei: Tshs.55 ml


Nyumba na.1



Nyumba 4 vya kulala
-inahitajika kumaliziwa.
Mahali: Msasani karibu na Shule ya Msingi Msasani
Bei: Tshs. 250 ml